RIBERY NDIYE MCHEZAJI BORA WA ULAYA KWA MSIMU WA MWAKA 20012/20013.

Mchezaji kiungo wa FC Bayern München  Franck Ribéry ndiye aliyechaguliwa kuwa ni mchezaji bora wa timu za ulaya  2012/13 UEFA na majaji wa mgazeti ya nchi za Ulaya yanayoandika habari za mchezo huo wa mprira wa miguu
Ribéry aliwashinda Lionel Messi kura (14) na Cristiano Ronaldo aliyepata kura (3) tu.

Comments