Baada ya kukumbwa na mapito mengi katika maisha yake mwanadada Ray C ambae amerudi katika game kwa nguvu mpya na kwa uwezo wa Mungu ame weza kuwa jasiri kwa kupost picha hizi (before & after drugs ) katika mtandao wake wa instagram. Japo kuwa watu wengi bado wana mkashifu na kumdhihaki lakini bado alionyesha ujasiri wake na kuandika ujumbe ufuato baada ya hizo comments. |
Comments
Post a Comment