![]() |
Marehemu Jeffa Othman Kessi |
Mazishi yatafanyika leo Jumamosi Novemba 23, 2013 saa 7 Adhuhuri katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.
Msiba upo Mtaa wa Nyati nambaa 11 Kariakoo, Fire, hapa Dar es salaam. Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki popote walipo.
Inalilahi Waina Ilayhi Rajiun
Inalilahi Waina Ilayhi Rajiun
Comments
Post a Comment