- Chafanyika Mpiji Beach Kigamboni
- Chaongozwa na billionaire Super Mogul Davis Mosha
- Mabillionaire wengine wengi wa mujini wahudhuria
- Itakuwa harusi ya kibillioner hakuna michango
Bwana harusi mtarajiwa William Malecela aka Le Mutuz Big Show Baharia King of all Social Media Networks akiwa katika pose kwenye kitu kipya aina ya Range Rover Autobiography 2013 inayo milikuwa na Super Mogul Davis Mosha Mkurugenzi wa Delina Inc.
Kikao kikiendelea
Mambo mazuri for Le Mutuz
![]() |
Wazee wa mujini wenye utajiri wakutisha hehehe maneno ya Le Mutuz hayo |
JE UTAALIKWA????
bro Le mutuz una miaka mingapi,
ReplyDeleteKwa hiyo ndugu zake hana? Na mwanaume kamili unaenda kupiga picha kwenye gari ya mwanaume mwenzako wewe mwandishi na yeye wote mach..o tu
ReplyDelete