WATU 7 WAFARIKI DUNIA NA WENGINE 18 WAJERUHIWA KATIKA AJALI TANGA [VIDEO].
on
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Watu saba wamefariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa vibaya baada ya magari mawili ya abiria yanayofanya safari zake kutoka jijini Tanga kwenda wilayani Korogwe kugongana uso kwa uso
Comments
Post a Comment