MTUHUMIWA WA MAUUWAJI YA PADRI MUSHI AACHIWA KWA DHAMANA NA MAHAKAMA ZANZIBAR.
on
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Mahakama Kuu Zanzibar imemuachia kwa dhamana Omar Mussa Makame mwenye mtoto anayetuhumiwa kumuua Padri Evaristi Mushi baada ya kudhaminiwa na wadhamini wawili kwa dhamana ya shilingi laki 5 kila mmoja.
Comments
Post a Comment