Meneja wa Vodacom Tanzania,Manispaa ya Morogoro Kamanda Kasapila[kushoto] akihakika kadi za pikipiki za washini wa bodaboda wanaoshuhudia kulia kabla ya kuwakabidhi washindi hao,waliojishindia katika promosheni ya Timka na Bodaboda inayoendeshwa na kampuni hiyo.
Baadhi ya Washindi wa promosheni ya Timka na Bodaboda wakiwa juu ya pikipiki zao mara baada ya kukabidhiwa rasmi pikipiki zao na Meneja wa Vodacom Tanzania,Manispaa ya Morogoro Kamanda Kasapila[hayupo pichani]
Comments
Post a Comment