Wakina mama wa DMV wakiwa kwenye mkutano na Ms Margareth Chacha Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Women's Bank.

Wakina mama wa DMV wakiwa kwenye mkutano na Mkurugenzi wa Tanzania Women's Bank
Ms Margareth Chacha Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Women's Bank akiongea na akina mama DMV siku ya Ijumaa April 11, 2014 na kuwapa faida ya kufungua AC na Benk hiyo ikiwemo masharti nafuu ya mikopo na kuwaeleza Mabenki mengine inakuwa vigumu kwa wanawake kupata mikopo na akatolea mfano wa sharti moja wpo ni kuwa na nyumba kwa uzoefu wake nyumba nyingi Tanzania zinakuwa kwa majina na waume zao kitu ambacho ni vigumu kwa wanawake wengi kukidhi masharti ya mikopo. Kitu kingine alichoelezea ni kuamisha pesa kupitia benki yao ni kwa haraka zaidi ukilinganisha na Benki zingine.

Wakina mama wa DMV wakifuatilia maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Women's Bank.
Comments
Post a Comment