WEMA SEPETU NA PROFESSOR JAY WAZINDUA GLOBAL TV ONLINE.
on
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Kutoka kushoto: Wasanii Dk. Cheni, Bi. Mwenda, Profesa Jay na Wema Sepetu wakishiriki kukata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa GlobaL TV Online jana.
Wema Sepetu na Profesa Jay wakifunua vitambaa wakati wa uzinduzi wa GlobaL TV Online jana katika ofisi za Global Publishers Ltd.
GlobaL TV Online baada ya kuzinduliwa rasmi.
Mkurugenzi wa Global Publishers & General Enterprises Ltd, Eric Shigongo pamoja na staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu wakikata keki wakati wa uzinduzi huo.
Mkongwe wa sanaa ya maigizo Bongo, Fatuma Makongoro 'Bi. Mwenda' akijiandaa kufungua shampeini.
Shampeini zikiwa tayari kufunguliwa.
....
IT'S CHEERS TIME...
Waalikwa na wafanyakazi wa Global wakigonga 'Cheers'.
Prof Jay, Bi. Mwenda na Steve Nyerere wakigonga 'cheers'.
Shigongo akigonga 'cheers' na Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Richard Manyota (kulia) na Oscar Ndauka ambaye ni Mhariri Kiongozi Magazeti Pendwa (katikati).
Mastaa wakigonga cheers.
...Cheers.
Wema Sepetu na Profesa Jay wakikata utepe kuzindua rasmi Global Tv Online leo ndani ya ofisi za Global Publishers Ltd.
Wema na Prof Jay wakifungua kitambaa kuzindua Global Tv Online.
Wasanii wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo (mwenye suti).
Wema Sepetu akimlisha keki Rais wa Bongo Muvi, Steve Nyerere.
Wema, Snura, Shigongo na Dk. Cheni wakichukua msosi katika uzinduzi huo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers wakiwa katika picha ya pamoja na wageni waalikwa.
Crew ya Global TV Online ikiwa katika picha ya pamoja baada ya uzinduzi.
Eric Shigongo akiwa katika picha ya pamoja na wasanii pamoja na wafanyakazi wa Global.
Comments
Post a Comment