Hapa ndipo jeneza lililobeba mwili wa Marehemu George Tyson litakapoka a kwa ajili ya kuagwa.(Picha na Pamoja Blog)
Utaratibu
huu umeandaliwa katika viwanja vya Leaders Club kwa lengo la kuwapa
fursa wakazi wa jiji la Dar es Salaam kupata nafasi za
kuuwaga mwili huo kabla ya kusafirishwa.
Comments
Post a Comment