PICHA: RAIS KIKWETE ALIPOWAALIKA WASANII CHAKULA CHA JIONI IKULU NDOGO DODOMA, BAADA YA UZINDUZI WA VIDEO YA TUULINDE JUMAMOSI 14 JUNE 2014.
Rais Kikwete akionge na Ommy Dimpoz alipompa kazi yake
Msanii Jb akiteta na Rais Kikwete
Rais Kikwete Akifurahi na Msanii Mrisho Mpoto
mmy Dimpoz akichukua chakula
Queen Darleen akichukua chakula
Ridhiwan Kikwete Mbunge wa chalinze akichuka chakula
Ridhiwan Kikwete Mbunge wa chalinze akichuka chakula
Jacqueline Wolper akipakua chakula
Kajala na Jacqueline Wolper wakichukua chakula
Wasanii Izo B na Quick Racka wakichukua chakula
Mkubwa Fella na Jose Mara
JB akipakuwa chakula
Irene Uwoya, Johari na wasanii wengeni wakipakua chakula
Shilole na Mziwanda wakapata chakula
Ruge Mutahaba na Sebastian Maganga
Ridhiwani na wageni wengine wakibadilishana mawazo
Comments
Post a Comment