THIS HOW #ALLSTARS INSTAGRAM PARTY TANZANIA WENT DOWN [PHOTOS]

Warembo alikuwa wamependeza kila idara mambo yalikuwa safi na ukodak kuchukua nafasi yake
Warembo walivyo kuwa wamejiachia kiroho safi usiku huo.
Mambo yalikuwa full kujiachia kwa style mbalimbali.
Hiyo diyo bongo linavyokuja swala la party za usiku basi mambo tambalale
Habari ndiyo hii
Ni mambo ya warembo wakibongo hayo wanapendezaje 
Jitiririshe mwenyewe na kujionea kilichotokea usiku huo wa Instagram party ndani ya Bongo Mjini.
Picha kwa hisani ya Dj Choka
 

Comments