Msanii huyu wa bongo flava "Rich Mavoko" akiungana na ma-dancer wake watafanya onesho la kukata na shoka pale Green Park Hotel iliyoko Taveta. Miongoni mwa vibao vitakavyoburudisha mashabiki ni Roho yangu, pacha wangu, Marry me, Follow follow na vingine vingi kwa KSH 300/= tu
Comments
Post a Comment